Simba yaingia kambini kuiwinda Yanga



Kikosi cha Simba kimeingia kambini jana kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumamosi wiki hii, Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu, amesema timu hiyo ilianza mazoezi jana jioni kwenye viwanja vya Mo Simba Arena na jana asubuhi kuingia kambini.

Comments