Tetemeko la ardhi Japan

  

 


Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.1 limetokea katika jimbo la Fukushima nchini Japan.


Kulingana na taarifa iliyotolewa na Wakala wa Hali ya Hewa wa Japan, tetemeko la ardhi limefikia kina cha kilomita 60.


Baada ya tetemeko la ardhi, mabadiliko kidogo yalitokea kwenye mwambao wa Fukushima.


Tetemeko hilo limesikika Miyagi, Iwate, Akita, Gunma, Saitama, Aomori na mji mkuu Tokyo.

Comments